Aprili 22-28
1 WAKORINTHO 14-16
Wimbo 22 na Sala
Utangulizi (Usizidi dak. 3)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Mungu ‘Atakuwa Vitu Vyote kwa Kila Mtu’”: (Dak. 10)
1Ko 15:24, 25—Ufalme wa Kimasihi utaangamiza maadui wote wa Mungu (w98 7/1 21 ¶10)
1Ko 15:26—Kifo kitaangamizwa (kr 237 ¶21)
1Ko 15:27, 28—Kristo atamrudishia Yehova Ufalme (w12 9/15 12 ¶17)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)
1Ko 14:34, 35—Je, mtume Paulo aliwakataza wanawake kuzungumza? (w12 9/1 9, sanduku)
1Ko 15:53—Ni nini maana ya kutoweza kufa na kutoweza kuharibika? (it-1 1197-1198; w09 2/15 25 ¶6)
Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?
Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?
Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) 1Ko 14:20-40 (th somo la 10)
BORESHA HUDUMA YAKO
Video ya Ziara ya Kurudia ya Kwanza: (Dak. 5) Onyesha video, kisha zungumzeni kuihusu.
Ziara ya Kurudia ya Kwanza: (Isizidi dak. 3) Tumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. (th somo la 3)
Ziara ya Kurudia ya Kwanza: (Isizidi dak. 5) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Kisha toa utangulizi wa video Kwa Nini Ujifunze Biblia? (lakini usiionyeshe) (th somo la 9)
MAISHA YA MKRISTO
Mahitaji ya Kutaniko: (Dak. 15)
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 63
Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)
Wimbo 103 na Sala