Mei 20-26
2 WAKORINTHO 11-13
Wimbo 3 na Sala
Utangulizi (Usizidi dak. 3)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“‘Mwiba Katika Mwili’ wa Paulo”: (Dak. 10)
2Ko 12:7—Paulo alishughulika na tatizo ambalo lilikuwa kama mwiba uliomsumbua (w08 6/15 3-4)
2Ko 12:8, 9—Yehova aliamua kutokubali ombi la Paulo la kuondolewa mwiba huo (w06 12/15 24 ¶17-18)
2Ko 12:10—Paulo alifaulu kutimiza mgawo wake kwa kutegemea roho takatifu ya Mungu (w18.01 9 ¶8-9)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)
2Ko 12:2-4—Maneno “mbingu ya tatu” na “paradiso” yanaweza kuwa yanarejelea nini? (w18.12 8 ¶10-12)
Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?
Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?
Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) 2Ko 11:1-15 (th somo la 5)
BORESHA HUDUMA YAKO
Video ya Ziara ya Kurudia ya Kwanza: (Dak. 5) Onyesha video, kisha zungumzeni kuihusu.
Ziara ya Kurudia ya Kwanza: (Isizidi dak. 3) Tumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. (th somo la 2)
Ziara ya Kurudia ya Kwanza: (Isizidi dak. 5) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Kisha toa utangulizi wa kitabu Biblia Inatufundisha. (th somo la 4)
MAISHA YA MKRISTO
“Unaweza Kufaulu Licha ya Kuwa na ‘Mwiba Katika Mwili’!”: (Dak. 15) Mazungumzo. Onyesha video “Macho ya Vipofu Yatafunguliwa.” Wajulishe wasikilizaji kwamba machapisho ya vipofu au wale wenye uwezo mdogo wa kuona yanapatikana katika lugha 47 katika maandishi ya vipofu. Wahubiri wanapaswa kuzungumza na mtumishi wa vitabu ili kuomba machapisho hayo. Watie moyo wote wawe makini kuona mahitaji ya watu wowote katika kutaniko au katika eneo ambao wana matatizo makubwa ya kuona.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 67
Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)
Wimbo 78 na Sala