Julai 29–Agosti 4
1 TIMOTHEO 4-6
Wimbo 80 na Sala
Utangulizi (Usizidi dak. 3)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Ujitoaji-Kimungu Una Faida Kuliko Utajiri”: (Dak. 10)
1Ti 6:6-8—Thamani ya “ujitoaji-kimungu na kuridhika” (w03 6/1 9 ¶2)
1Ti 6:10—Maumivu ya kupenda pesa (g 11/08 6 ¶4-6)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)
1Ti 4:2—Mtu anaitiaje alama dhamiri yake, na kwa nini hilo ni hatari? (lvs 23-24 ¶17)
1Ti 4:13—Kwa nini Paulo alimtia moyo Timotheo aendelee kujitahidi kusoma mbele ya watu? (it-2 714 ¶1-2)
Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?
Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?
Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) 1Ti 4:1-16 (th somo la 5)
BORESHA HUDUMA YAKO
Ziara ya Kurudia ya Pili: (Isizidi dak. 3) Tumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Mwalike mwenye-nyumba kwenye mkutano. (th somo la 11)
Funzo la Biblia: (Lisizidi dak. 4) lvs 207-209 ¶20-21 (th somo la 3)
Funzo la Biblia: (Lisizidi dak. 5) Kwa busara sitisha funzo la Biblia lisilo na maendeleo.—Ona mwb19.02 7. (th somo la 12)
MAISHA YA MKRISTO
Madhara ya Kufuatia Vitu vya Kimwili: (Dak. 7) Onyesha video yenye kichwa Lazima Tukimbie kwa Uvumilivu”—Ondoa Mizigo Isiyo ya Lazima. Kisha zungumzieni masomo mliyojifunza.
“Ujitoaji-Kimungu Una Faida Kuliko Mazoezi ya Kimwili”: (Dak. 8) Mazungumzo. Onyesha video ya vibonzo kwenye ubao yenye kichwa Mambo Unayopaswa Kujua Kuhusu Michezo.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 77
Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)
Wimbo 21 na Sala