Septemba 23-29
WAEBRANIA 12-13
Wimbo 88 na Sala
Utangulizi (Usizidi dak. 3)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Nidhamu—Uthibitisho wa Upendo wa Yehova”: (Dak. 10)
Ebr 12:5—Usikate tamaa unapotiwa nidhamu (w12 3/15 29 ¶18)
Ebr 12:6, 7—Yehova anawatia nidhamu wale anaowapenda (w12 7/1 21 ¶3)
Ebr 12:11—Ingawa nidhamu inaweza kuumiza, inatuzoeza (w18.03 32 ¶18)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)
Ebr 12:1—Mfano wa ‘wingu kubwa la mashahidi’ unatutiaje moyo? (w11 9/15 17-18 ¶11)
Ebr 13:9—Mstari huu unamaanisha nini? (w89 12/15 22 ¶10)
Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?
Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?
Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) Ebr 12:1-17 (th somo la 11)
BORESHA HUDUMA YAKO
Video ya Ziara ya Kurudia ya Pili: (Dak. 5) Onyesha video, kisha zungumzeni kuihusu.
Ziara ya Kurudia ya Pili: (Isizidi dak. 3) Tumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. (th somo la 2)
Funzo la Biblia: (Lisizidi dak. 5) lvs 39-40 ¶19 (th somo la 6)
MAISHA YA MKRISTO
Kuvumilia Licha ya . . . Kutokamilika Kwetu Wenyewe: (Dak. 5) Onyesha video. Kisha zungumzieni maswali yafuatayo:
Ndugu Cázares amekabili hali zipi ngumu tangu alipobatizwa?
Ametiwa nidhamu kwa njia zipi?
Mahitaji ya Kutaniko: (Dak. 10)
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 85
Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)
Wimbo 74 na Sala