Oktoba 7-13
YAKOBO 3-5
Wimbo 50 na Sala
Utangulizi (Usizidi dak. 3)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Onyesha Hekima Kutoka kwa Mungu”: (Dak. 10)
Yak 3:17—Hekima kutoka kwa Mungu ni safi na yenye kufanya amani (cl 221-222 ¶9-10)a
Yak 3:17—Hekima kutoka kwa Mungu ni yenye usawaziko, tayari kutii, na yenye kujaa rehema na matunda mema (cl 223-224 ¶12; 224-225 ¶14-15)
Yak 3:17—Hekima kutoka kwa Mungu haina ubaguzi na si ya kinafiki (cl 226-227 ¶18-19)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)
Yak 4:5—Ni andiko gani ambalo Yakobo ananukuu hapa? (w08 11/15 20 ¶6)
Yak 4:11, 12—Ni kwa njia gani yule “anayemsema vibaya ndugu” anasema “vibaya juu ya sheria”? (w97 11/15 20-21 ¶8)
Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?
Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?
Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) Yak 3:1-18 (th somo la 5)
BORESHA HUDUMA YAKO
Boresha Uwezo Wako wa Kusoma na Kufundisha: (Dak. 10) Mazungumzo. Onyesha video yenye kichwa Ubadilifu wa Sauti, kisha mzungumzie somo la 10 la broshua Kufundisha.
Hotuba: (Isizidi dak. 5) w10 9/1 23-24—Kichwa: Kwa nini tunapaswa kuungama dhambi zetu, na tunapaswa kuungama kwa nani? (th somo la 14)
MAISHA YA MKRISTO
Mahitaji ya Kutaniko: (Dak. 15)
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 86 ¶8-17
Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)
Wimbo 125 na Sala
a Ufupisho wa Machapisho: cl = Mkaribie Mungu; w = Mnara wa Mlinzi—Toleo la Funzo; jy = Yesu—Njia, Kweli, na Uzima; lvs = Jinsi ya Kudumu Katika Upendo wa Mungu; it = Insight on the Scriptures; bhs = Biblia Inatufundisha Nini?