Oktoba 14-20
1 PETRO 1-2
Wimbo 29 na Sala
Utangulizi (Usizidi dak. 3)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Lazima Muwe Watakatifu”: (Dak. 10)
[Onyesha video yenye kichwa Utangulizi wa 1 Petro.]
1Pe 1:14, 15—Ni lazima tamaa na mwenendo wetu uwe mtakatifu (w17.02 9 ¶5)
1Pe 1:16—Tunajitahidi kumwiga Mungu wetu mtakatifu (lvs 77 ¶6)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)
1Pe 1:10-12—Tunawezaje kuwa na bidii kama manabii na malaika? (w08 11/15 21 ¶10)
1Pe 2:25—Ni nani Mwangalizi Mkuu? (it-2 565 ¶3)
Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?
Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?
Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) 1Pe 1:1-16 (th somo la 10)
BORESHA HUDUMA YAKO
Video ya Ziara ya Kwanza: (Dak. 4) Onyesha video, kisha zungumzeni kuihusu.
Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 2) Tumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. (th somo la 1)
Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 3) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Shughulikia kizuia-mazungumzo cha kawaida katika eneo lenu. (th somo la 3)
Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 3) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Mwonyeshe chapisho kutoka kwenye Sanduku Letu la Vifaa vya Kufundishia. (th somo la 9)
MAISHA YA MKRISTO
Uwe Rafiki ya Yehova—Uwe Safi na Nadhifu: (Dak. 6) Onyesha video. Kisha waalike jukwaani watoto uliowachagua mapema, na uwaulize maswali yafuatayo: Yehova alitengenezaje mahali kwa ajili ya kila kitu? Viboko hufanya nini ili miili yao iwe safi? Kwa nini unapaswa kusafisha chumba chako?
“Yehova Anawapenda Watu Safi”: (Dak. 9) Mazungumzo. Onyesha video yenye kichwa Mungu Anawapenda Watu Walio Safi.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 87
Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)
Wimbo 39 na Sala