Oktoba 21-27
1 PETRO 3-5
Wimbo 14 na Sala
Utangulizi (Usizidi dak. 3)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Mwisho wa Mambo Yote Umekaribia”: (Dak. 10)
1Pe 4:7—“Iweni na utimamu wa akili, na kukesha kuhusiana na sala” (w13 11/15 3 ¶1)
1Pe 4:8—“Pendaneni sana” (w99 4/15 22 ¶3)
1Pe 4:9—“Mkaribishane bila kunung’unika” (w18.03 14-15 ¶2-3)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)
1Pe 3:19, 20—Yesu aliwahubiria lini na jinsi gani “roho walio gerezani”? (w13 6/15 23)
1Pe 4:6—Ni nani “wafu” ambao ‘walitangaziwa habari njema’? (w08 11/15 21 ¶8)
Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?
Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?
Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) 1Pe 3:8-22 (th somo la 10)
BORESHA HUDUMA YAKO
Video ya Ziara ya Kurudia ya Kwanza: (Dak. 4) Onyesha video, kisha zungumzeni kuihusu.
Ziara ya Kurudia ya Kwanza: (Isizidi dak. 3) Tumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. (th somo la 6)
Ziara ya Kurudia ya Kwanza: (Isizidi dak. 5) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Kisha toa utangulizi wa video Kwa Nini Ujifunze Biblia? (lakini usionyeshe video) halafu mzungumze kuihusu. (th somo la 8)
MAISHA YA MKRISTO
“Mwenendo Safi Kiadili na Heshima Kubwa Huvuta Watu”: (Dak. 15) Mazungumzo. Onyesha video yenye kichwa Yehova Anatuimarisha Ili Tubebe Mzigo Wetu
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 88 ¶1-11
Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)
Wimbo 61 na Sala