Februari 3-9
MWANZO 12-14
Wimbo 14 na Sala
Utangulizi (Dak. 1)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Agano Linalokuhusu”: (Dak. 10)
Mwa 12:1, 2—Yehova aliahidi kumbariki Abramu (Abrahamu) (it-1 522 ¶4)a
Mwa 12:3—“Familia zote duniani hakika zitabarikiwa kupitia [kwa Abrahamu]” (w89 7/1 3 ¶4)
Mwa 13:14-17—Yehova alimwonyesha Abrahamu nchi ambayo wazao wake wangemiliki (it-2 213 ¶3)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 10)
Mwa 13:8, 9—Tunaweza kumwigaje Abrahamu kuhusiana na kutatua mizozo? (w16.05 5 ¶12)
Mwa 14:18-20—Ni kwa njia gani Lawi alilipa “sehemu za kumi kupitia Abrahamu”? (Ebr 7:4-10; it-2 683 ¶1)
Umepata hazina gani za kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili kumhusu Yehova Mungu, au ambazo ungependa kutumia katika utumishi wa shambani, au jambo lingine?
Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) Mwa 12:1-20 (th somo la 10)
BORESHA HUDUMA YAKO
Boresha Uwezo Wako wa Kusoma na Kufundisha: (Dak. 10) Mazungumzo. Onyesha video yenye kichwa Kukazia Mambo Makuu, kisha mzungumzie somo la 14 la broshua Kufundisha.
Hotuba: (Isizidi dak. 5) w12 1/1 8—Kichwa: Ni Nini Kilichomfanya Sara Awe Mwenye Thamani Sana? (th somo la 14)
MAISHA YA MKRISTO
“Unajifunza Nini Kutokana na Nyimbo Zilizotungwa?”: (Dak. 10) Mazungumzo. Cheza wimbo uliotungwa wenye kichwa Paradiso Iko Karibu Sana.
Mahitaji ya Kutaniko: (Dak. 5)
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 102
Umalizio (Usizidi dak. 3)
Wimbo 15 na Sala
a Ufupisho wa Machapisho: bhs = Biblia Inatufundisha Nini; fg = Habari Njema Kutoka kwa Mungu; w = Mnara wa Mlinzi—Toleo la Funzo; it = Insight on the Scriptures; jy = Yesu—Njia, Kweli, na Uzima; g = Amkeni!; wp = Mnara wa Mlinzi—Toleo la Watu Wote