Februari 24–Machi 1
MWANZO 20-21
Wimbo 108 na Sala
Utangulizi (Dak. 1)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Sikuzote Yehova Hutimiza Ahadi Zake”: (Dak. 10)
Mwa 21:1-3—Sara alipata mimba na kumzaa mwana (wp17.5 14-15)
Mwa 21:5-7—Yehova alifanya jambo lisilowezekana litendeke
Mwa 21:10-12, 14—Abrahamu na Sara walikuwa na imani thabiti katika ahadi ya Yehova kumhusu Isaka
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 10)
Mwa 20:12—Ni kwa njia gani Sara alikuwa dada ya Abrahamu? (wp17.3 12, maelezo ya chini)
Mwa 21:33—Ni kwa njia gani Abrahamu aliliitia “jina la Yehova”? (w89 7/1 20 ¶9)
Umepata hazina gani za kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili kumhusu Yehova Mungu, au ambazo ungependa kutumia katika utumishi wa shambani, au jambo lingine?
Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) Mwa 20:1-18 (th somo la 5)
BORESHA HUDUMA YAKO
Video ya Ziara ya Kurudia ya Pili: (Dak. 5) Mazungumzo. Onyesha video, kisha uwaulize wasikilizaji maswali yafuatayo: Mhubiri alionyeshaje jinsi andiko linavyoweza kutumiwa? Kwa nini huu ni mfano mzuri wa kumrudia mtu aliyeonyesha upendezi?
Ziara ya Kurudia ya Pili: (Isizidi dak. 3) Tumia mapendekezo ya kuanzisha mazungumzo. (th somo la 4)
Funzo la Biblia: (Lisizidi dak. 5) bhs 35 ¶19-20 (th somo la 3)
MAISHA YA MKRISTO
Ripoti ya Utumishi ya Kila Mwaka: (Dak. 15) Hotuba itolewe na mzee. Baada ya kusoma tangazo kutoka kwenye ofisi ya tawi kuhusu ripoti ya utumishi ya kila mwaka, wahoji wahubiri waliotayarishwa mapema ambao walijionea mambo yenye kutia moyo katika huduma mwaka uliopita.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 105
Umalizio (Usizidi dak. 3)
Wimbo 119 na Sala