MEI 4-10
MWANZO 36-37
Wimbo 114 na Sala
Utangulizi (Dak. 1)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Ndugu za Yosefu Wamwonea Wivu”: (Dak. 10)
Mwa 37:3, 4—Ndugu za Yosefu walimchukia kwa sababu baba yake alimpenda kuliko wengine wote (w14 8/1 12-13)a
Mwa 37:5-9, 11—Ndoto za Yosefu ziliwapa ndugu zake sababu zaidi za kumwonea wivu (w14 8/1 13 ¶2-4)
Mwa 37:23, 24, 28—Wivu wa ndugu za Yosefu uliwafanya wamtendee ndugu yao kikatili
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 10)
Mwa 36:1—Kwa nini Esau alipewa jina la pili Edomu? (it-1 678)
Mwa 37:29-32—Kwa nini ndugu za Yosefu walimwonyesha Yakobo joho la Yosefu lililoraruka ambalo lilikuwa na damu? (it-1 561-562)
Umepata hazina gani za kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili kumhusu Yehova Mungu, au ambazo ungependa kutumia katika utumishi wa shambani, au jambo lingine?
Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak.4 ) Mwa 36:1-19 (th somo la 5)
BORESHA HUDUMA YAKO
Boresha Uwezo Wako wa Kusoma na Kufundisha: (Dak 10) Mazungumzo. Onyesha video yenye kichwa Habari Inayoeleweka, kisha mzungumzie th somo la 17 la broshua Kufundisha.
Hotuba: (Isizidi dak. 5) w02 10/15 30-31—Kichwa: Kwa Nini Wakristo Wanapaswa Kuwa na Wivu wa Kimungu? (th somo la 6)
MAISHA YA MKRISTO
“Je, Umejitayarisha?” (Dak. 15) Mazungumzo yakiongozwa na mzee. Onyesha video yenye kichwa Je, Umejitayarisha Kukabiliana na Majanga ya Asili? Tia ndani vikumbusho kutoka kwa ofisi ya tawi na kutoka kwa baraza la wazee, ikiwa vipo.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 113
Umalizio (Dak. 3)
Wimbo 84 na Sala
a Ufupisho wa Machapisho: bhs = Biblia Inatufundisha Nini?; w = Mnara wa Mlinzi; it = Insight on the Scriptures; jy = Yesu—Njia, Kweli, na Uzima; g = Amkeni!; th = Kufundisha; lvs = Jinsi ya Kudumu Katika Upendo wa Mungu