Julai 13-19
KUTOKA 8-9
Wimbo 12 na Sala
Utangulizi (Dak. 1)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Farao Mwenye Kiburi Atumiwa Kutimiza Kusudi la Mungu”: (Dak. 10)
Kut 8:15—Farao aliufanya moyo wake kuwa mgumu na akakataa kumsikiliza Musa na Haruni (it-2 1040-1041)
Kut 8:18, 19—Farao alikataa kuwasikiliza Musa na Haruni hata ingawa makuhani wake wachawi walikubali kuwa wameshindwa
Kut 9:15-17—Yehova alitukuza jina lake mwenyewe kwa kutomwangamiza Farao mara moja (it-2 1181 ¶3-5)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 10)
Kut 8:21—Nzi waliotumiwa katika pigo hili walikuwa wa aina gani? (it-1 878)
Kut 8:25-27—Kwa nini Musa alisema kwamba dhabihu za Waisraeli “zingewachukiza Wamisri”? (w04 3/15 25 ¶9)
Umepata hazina gani za kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili kumhusu Yehova Mungu, au ambazo ungependa kutumia katika utumishi wa shambani, au jambo lingine?
Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) Kut 8:1-19 (th somo la 12)
BORESHA HUDUMA YAKO
Video ya Ziara ya Kwanza: (Dak. 4) Mazungumzo. Onyesha video. Kisha waulize wasikilizaji: Mhubiri alishughulikiaje kizuia-mazungumzo cha mwenye-nyumba? Mhubiri angetoaje chapisho kutoka katika Sanduku la Vifaa vya Kufundishia?
Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 2) Tumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. (th somo la 6)
Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 3) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Shughulikia kizuia-mazungumzo cha kawaida. (th somo la 3)
Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 3) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Toa chapisho la funzo. (th somo la 12)
MAISHA YA MKRISTO
“Uwe Mnyenyekevu—Epuka Kujisifu”: (Dak. 7) Mazungumzo. Onyesha video yenye kichwa Uwe Rafiki ya Yehova—Uwe Mnyenyekevu. Baadaye, waalike jukwaani watoto uliowachagua, ikiwa wanapatikana, uwaulize maswali kuhusu video hiyo.
“Uwe Mnyenyekevu Unaposifiwa na Wengine”: (Dak. 8) Mazungumzo. Onyesha video yenye kichwa Uwe Mshikamanifu Kama Yesu—Unaposifiwa.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 123, sanduku “Jasho Kama Matone ya Damu”
Umalizio (Usizidi dak. 3)
Wimbo 44 na Sala