Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb20 Julai uku. 3
  • Julai 13-19

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Julai 13-19
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2020
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2020
mwb20 Julai uku. 3

Julai 13-19

KUTOKA 8-9

  • Wimbo 12 na Sala

  • Utangulizi (Dak. 1)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

  • “Farao Mwenye Kiburi Atumiwa Kutimiza Kusudi la Mungu”: (Dak. 10)

    • Kut 8:15—Farao aliufanya moyo wake kuwa mgumu na akakataa kumsikiliza Musa na Haruni (it-2 1040-1041)

    • Kut 8:18, 19—Farao alikataa kuwasikiliza Musa na Haruni hata ingawa makuhani wake wachawi walikubali kuwa wameshindwa

    • Kut 9:15-17—Yehova alitukuza jina lake mwenyewe kwa kutomwangamiza Farao mara moja (it-2 1181 ¶3-5)

  • Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 10)

    • Kut 8:21—Nzi waliotumiwa katika pigo hili walikuwa wa aina gani? (it-1 878)

    • Kut 8:25-27—Kwa nini Musa alisema kwamba dhabihu za Waisraeli “zingewachukiza Wamisri”? (w04 3/15 25 ¶9)

    • Umepata hazina gani za kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili kumhusu Yehova Mungu, au ambazo ungependa kutumia katika utumishi wa shambani, au jambo lingine?

  • Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) Kut 8:1-19 (th somo la 12)

BORESHA HUDUMA YAKO

  • Video ya Ziara ya Kwanza: (Dak. 4) Mazungumzo. Onyesha video. Kisha waulize wasikilizaji: Mhubiri alishughulikiaje kizuia-mazungumzo cha mwenye-nyumba? Mhubiri angetoaje chapisho kutoka katika Sanduku la Vifaa vya Kufundishia?

  • Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 2) Tumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. (th somo la 6)

  • Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 3) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Shughulikia kizuia-mazungumzo cha kawaida. (th somo la 3)

  • Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 3) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Toa chapisho la funzo. (th somo la 12)

MAISHA YA MKRISTO

  • Wimbo 74

  • “Uwe Mnyenyekevu—Epuka Kujisifu”: (Dak. 7) Mazungumzo. Onyesha video yenye kichwa Uwe Rafiki ya Yehova—Uwe Mnyenyekevu. Baadaye, waalike jukwaani watoto uliowachagua, ikiwa wanapatikana, uwaulize maswali kuhusu video hiyo.

  • “Uwe Mnyenyekevu Unaposifiwa na Wengine”: (Dak. 8) Mazungumzo. Onyesha video yenye kichwa Uwe Mshikamanifu Kama Yesu—Unaposifiwa.

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 123, sanduku “Jasho Kama Matone ya Damu”

  • Umalizio (Usizidi dak. 3)

  • Wimbo 44 na Sala

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki