Julai 20-26
KUTOKA 10-11
Wimbo 65 na Sala
Utangulizi (Dak. 1)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Musa na Haruni Waonyesha Ujasiri Mkubwa”: (Dak. 10)
Kut 10:3-6—Musa na Haruni walimtangazia Farao pigo la nane kwa ujasiri (w09 7/15 20 ¶6)
Kut 10:24-26—Musa na Haruni hawakuogopeshwa na Farao na hivyo kulegeza msimamo
Kut 10:28; 11:4-8—Musa na Haruni walitangaza pigo la kumi bila woga (it-2 436 ¶4)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 10)
Kut 10:1, 2—Wazazi wanaweza kujifunza nini kutokana na mistari hii? (w95 9/1 11 ¶11)
Kut 11:7—Yehova alimaanisha nini aliposema kwamba “hakuna hata mbwa atakayewabwekea Waisraeli”? (it-1 783 ¶5)
Umepata hazina gani za kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili kumhusu Yehova Mungu, au ambazo ungependa kutumia katika utumishi wa shambani, au jambo lingine?
Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) Kut 10:1-15 (th somo la 10)
BORESHA HUDUMA YAKO
Video ya Ziara ya Kurudia: (Dak. 5) Mazungumzo. Onyesha video. Kisha waulize wasikilizaji: Ulijifunza nini kutokana na jinsi mhubiri alivyomsadikisha mwenye-nyumba? Mhubiri angetoaje chapisho kutoka katika Sanduku la Vifaa vya Kufundishia?
Ziara ya Kurudia: (Isizidi dak. 4) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Mwalike mwenye-nyumba kwenye mkutano. (th somo la 8)
Ziara ya Kurudia: (Isizidi dak. 4) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Kisha toa chapisho kutoka kwenye Sanduku la Vifaa vya Kufundishia. (th somo la 12)
MAISHA YA MKRISTO
“Uumbaji Unatufundisha Nini Kuhusu Ujasiri?”: (Dak. 15) Mazungumzo. Onyesha video yenye kichwa Jifunze Ujasiri Kutoka kwa Uumbaji.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 124
Umalizio (Usizidi dak. 3)
Wimbo 113 na Sala