Septemba 21-27
KUTOKA 27-28
Wimbo 25 na Sala
Utangulizi (Dak. 1)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Tunajifunza Nini Kutokana na Mavazi ya Makuhani?”: (Dak. 10)
Kut 28:30—Tunapaswa kutafuta mwongozo wa Yehova (it-2 1143)
Kut 28:36—Tunapaswa kudumisha utakatifu (it-1 849 ¶3)
Kut 28:42, 43—Tunapaswa kuwa na heshima tunapomwabudu Mungu (w08 8/15 15 ¶17)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 10)
Kut 28:15-21—Huenda mawe yenye thamani yaliyokuwa kwenye kifuko cha kifuani cha kuhani mkuu wa Israeli yalitoka wapi? (w12 8/1 26 ¶1-3)
Kut 28:38—“Vitu vitakatifu” vilikuwa nini? (it-1 1130 ¶2)
Umepata hazina gani za kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili kumhusu Yehova, au ambazo ungependa kutumia katika utumishi wa shambani, au jambo lingine?
Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) Kut 27:1-21 (th somo la 5)
BORESHA HUDUMA YAKO
Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 3) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Kisha mwachie kadi ya mawasiliano ya jw.org. (th somo la 1)
Ziara ya Kurudia: (Isizidi dak. 4) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Kisha toa chapisho kutoka kwenye Sanduku la Vifaa vya Kufundishia. (th somo la 2)
Funzo la Biblia: (Lisizidi dak. 5) lvs 111 ¶20-21 (th somo la 13)
MAISHA YA MKRISTO
“Kuboresha Ustadi Wetu Katika Huduma—Kuhubiri Katika Maeneo Yenye Ulinzi Mkali”: (Dak. 15) Mazungumzo. Onyesha na uzungumzie video ya 1, kisha uonyeshe na kuzungumzia video ya 2.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Lisizidi dak. 30) jy sura ya 133
Umalizio (Usizidi dak. 3)
Wimbo 46 na Sala