Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb20 Oktoba uku. 4
  • Oktoba 12-18

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Oktoba 12-18
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2020
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2020
mwb20 Oktoba uku. 4

Oktoba 12-18

KUTOKA 33-34

  • Wimbo 115 na Sala

  • Utangulizi (Dak. 1)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

  • “Sifa za Yehova Zinazovutia”: (Dak. 10)

    • Kut 34:5—Kujua jina la Mungu kunamaanisha kujua kusudi lake, utendaji wake, na sifa zake (it-2 466-467)

    • Kut 34:6—Sifa za Yehova zinatuvuta kwake (w09 5/1 18 ¶3-5)

    • Kut 34:7—Yehova husamehe watenda-dhambi waliotubu (w09 5/1 18 ¶6)

  • Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 10)

    • Kut 33:11, 20—Mungu alizungumzaje na Musa “uso kwa uso”? (w04 3/15 27 ¶5)

    • Kut 34:23, 24—Kwa nini wanaume Waisraeli walihitaji kuwa na imani ili kuhudhuria sherehe tatu za kila mwaka? (w98 9/1 20 ¶5)

    • Umepata hazina gani za kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili kumhusu Yehova, au ambazo ungependa kutumia katika utumishi wa shambani, au jambo lingine?

  • Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) Kut 33:1-16 (th somo la 10)

BORESHA HUDUMA YAKO

  • Video ya Ziara ya Kurudia: (Dak. 5) Mazungumzo. Onyesha video, kisha waulize wasikilizaji maswali yafuatayo: Brandi alionyeshaje waziwazi matumizi ya andiko? Alimchocheaje mwenye-nyumba kufikiri?

  • Ziara ya Kurudia: (Isizidi dak. 3) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Shughulikia kizuia-mazungumzo cha kawaida katika eneo lenu. (th somo la 16)

  • Ziara ya Kurudia: (Isizidi dak. 5) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Kisha toa utangulizi wa kitabu Biblia Inatufundisha, na uanzishe funzo la Biblia katika sura ya 2. (th somo la 8)

MAISHA YA MKRISTO

  • Wimbo 80

  • “Vijana​—Je, Yehova Ndiye Rafiki Yenu wa Karibu Zaidi?”: (Dak. 15) Mazungumzo. Onyesha video yenye kichwa Vijana—“Onjeni Mwone ya Kuwa Yehova Ni Mwema.”

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 136

  • Umalizio (Usizidi dak. 3)

  • Wimbo 103 na Sala

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki