Novemba 23-29
MAMBO YA WALAWI 6-7
Wimbo 46 na Sala
Utangulizi (Dak. 1)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Wonyesho wa Shukrani”: (Dak. 10)
Law 7:11, 12—Aina moja ya dhabihu ya ushirika ilikuwa wonyesho wa hiari wa shukrani (w19.11 22 ¶9)
Law 7:13-15—Kwa njia ya mfano, mtu aliyetoa dhabihu ya ushirika pamoja na familia yake walikuwa wakila pamoja na Yehova, na hilo lilionyesha uhusiano wenye amani (w00 8/15 15 ¶15)
Law 7:20—Wale waliokuwa safi ndio tu ambao wangeweza kutoa dhabihu ya ushirika iliyokubalika (w00 8/15 19 ¶8)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 10)
Law 6:13—Wayahudi walikuwa na maoni gani kuhusu chanzo cha moto uliokuwa juu ya madhabahu, lakini Maandiko yanaonyesha nini? (it-1 833 ¶1)
Law 6:25—Dhabihu za dhambi zilitofautianaje na dhabihu za kuteketezwa na dhabihu za ushirika? (si 27 ¶15)
Umepata hazina gani za kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili kumhusu Yehova Mungu, au ambazo ungependa kutumia katika utumishi wa shambani, au jambo lingine?
Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) Law 6:1-18 (th somo la 5)
BORESHA HUDUMA YAKO
Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 3) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Kisha taja jambo hususa katika toleo la watu wote la Mnara wa Mlinzi Na. 2 2020, na utoe gazeti hilo. (th somo la 3)
Ziara ya Kurudia: (Isizidi dak. 4) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Kisha mwelekeze mwenye-nyumba kwenye tovuti yetu, na utoe kadi ya mwaliko ya jw.org. (th somo la 11)
Funzo la Biblia: (Lisizidi dak. 5) bhs 178-179 ¶12-13 (th somo la 6)
MAISHA YA MKRISTO
Uwe Rafiki ya Yehova—Onyesha Uthamini: (Dak. 5) Onyesha video. Kisha waalike jukwaani watoto walioteuliwa mapema na uwaulize maswali kuhusu video hiyo.
Mahitaji ya Kutaniko: (Dak. 10)
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Lisizidi dak. 30) rr sura ya 1 ¶1-7, video ya utangulizia
Umalizio (Usizidi dak. 3)
Wimbo 37 na Sala
a Habari inapotia ndani video ya utangulizi, video hiyo inapaswa kuonyeshwa kabla ya mafungu kuzungumziwa.