Mei 24-30
HESABU 34-36
Wimbo 33 na Sala
Utangulizi (Dak. 1)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Mfanye Yehova Awe Kimbilio Lako”: (Dak. 10)
Hazina za Kiroho: (Dak. 10)
Hes 35:31—Kwa nini Adamu na Hawa hawatanufaika na dhabihu ya fidia ya Yesu? (w91 2/15 13 ¶13)
Umepata hazina gani za kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili kumhusu Yehova, au ambazo ungependa kutumia katika utumishi wa shambani, au jambo lingine?
Usomaji wa Biblia: (Dak. 4) Hes 34:1-15 (th somo la 10)
BORESHA HUDUMA YAKO
Ziara ya Kwanza: (Dak. 3) Tumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Shughulikia kizuia-mazungumzo cha kawaida katika eneo lenu. (th somo la 12)
Ziara ya Kurudia: (Dak. 4) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Toa utangulizi wa video Kwa Nini Ujifunze Biblia? (lakini usionyeshe video). (th somo la 9)
Funzo la Biblia: (Dak. 5) fg somo la 2 ¶9-10 (th somo la 19)
MAISHA YA MKRISTO
Uwe Rafiki ya Yehova—Nidhamu Ni Upendo: (Dak. 6) Mazungumzo. Onyesha video. Kisha, ikiwezekana waulize watoto uliowachagua mapema maswali yafuatayo: Kwa nini nyakati nyingine unahitaji kutiwa nidhamu? Nidhamu ina faida gani kwako? Kwa nini Yehova hututia nidhamu?
“Nidhamu—Wonyesho wa Upendo wa Yehova”: (Dak. 9) Mazungumzo. Onyesha video “Yehova Huwatia Nidhamu Wale Anaowapenda”.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) rr sura ya 9 ¶1-9, video ya utangulizi
Umalizio (Dak. 3)
Wimbo 93 na Sala