Novemba 15-21
YOSHUA 23-24
Wimbo 50 na Sala
Utangulizi (Dak. 1)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Yoshua Alihimiza Taifa kwa Mara ya Mwisho”: (Dak. 10)
Hazina za Kiroho: (Dak. 10)
Yos 24:2—Je, Tera, baba ya Abrahamu alikuwa mwabudu-sanamu? (w04 12/1 12 ¶1)
Umepata hazina gani za kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili kumhusu Yehova, au ambazo ungependa kutumia katika utumishi wa shambani, au jambo lingine?
Usomaji wa Biblia: (Dak. 4) Yos 24:19-33 (th somo la 11)
BORESHA HUDUMA YAKO
Ziara ya Kwanza: (Dak. 3) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Shughulikia kizuia-mazungumzo cha kawaida katika eneo lenu. (th somo la 2)
Ziara ya Kurudia: (Dak. 4) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Toa broshua Furahia Maisha Milele! (th somo la 20)
Funzo la Biblia: (Dak. 5) lffi somo la 01 muhtasari, ungejibuje, na lengo (th somo la 3)
MAISHA YA MKRISTO
Epuka Mashirika Mabaya Kazini: (Dak. 7) Mazungumzo. Onyesha video Epuka Mambo Yanayoharibu Ushikamanifu—Mashirika Mabaya. Kisha waulize wasikilizaji: Dada yetu aliathiriwaje na mashirika mabaya kazini? Alifanya mabadiliko gani, na hilo lilimsaidiaje? Video hii inakufundisha mambo gani kuhusu kuepuka mashirika mabaya?
Pata Marafiki Mahali Usipotarajia: (Dak. 8) Mazungumzo. Onyesha video. Kisha waulize wasikilizaji: Ni hali zipi zilizomfanya Akil aanze kushirikiana na mashirika mabaya shuleni? Alipataje mashirika mazuri kutanikoni? Video hii inakufundisha mambo gani kuhusu kutafuta mashirika mazuri?
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) rr sura ya 16 ¶1-8, video ya utangulizi
Umalizio (Dak. 3)
Wimbo 39 na Sala