Novemba 22-28
WAAMUZI 1-3
Wimbo 126 na Sala
Utangulizi (Dak. 1)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Simulizi Kuhusu Ujasiri na Ubunifu”: (Dak. 10)
Hazina za Kiroho: (Dak. 10)
Amu 2:10-12—Kwa nini huu ni mfano wa kuonya kwetu? (w05 1/15 24 ¶7)
Umepata hazina gani za kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili kumhusu Yehova, au ambazo ungependa kutumia katika utumishi wa shambani, au jambo lingine?
Usomaji wa Biblia: (Dak. 4) Amu 3:12-31 (th somo la 5)
BORESHA HUDUMA YAKO
“Ongeza Shangwe Yako Katika Huduma—Kubali Msaada wa Yehova Kupitia Sala”: (Dak. 10) Mazungumzo. Onyesha video Pata Shangwe ya Kufanya Wanafunzi—Kubali Msaada wa Yehova—Sala.
Funzo la Biblia: (Dak. 5) lffi somo la 02 utangulizi na jambo kuu namba 1-3 (th somo la 11)
MAISHA YA MKRISTO
Uwe Rafiki ya Yehova—Jiendeshe Vizuri Katika Huduma: (Dak. 5) Mazungumzo. Onyesha video. Kisha, ikiwezekana, waalike watoto uliowachagua jukwaani, na uwaulize: Tunapaswa kufanya matayarisho gani kwa ajili ya huduma? Tunawezaje kuwa na mwonekano mzuri na wenye kiasi? Tufanye nini tujiendeshe vizuri katika huduma?
“Madokezo ya Jinsi ya Kuboresha Mikutano ya Utumishi wa Shambani”: (Dak. 10) Mazungumzo yakiongozwa na mwangalizi wa utumishi. Kisha waalike wasikilizaji waeleze kwa nini ni muhimu kufika mapema kabla ya mkutano wa utumishi kuanza.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) rr sura ya 16 ¶9-13, sanduku 16A
Umalizio (Dak. 3)
Wimbo 29 na Sala