Desemba 6-12
WAAMUZI 6-7
Wimbo 38 na Sala
Utangulizi (Dak. 1)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Nenda kwa Nguvu Ulizo Nazo”: (Dak. 10)
Hazina za Kiroho: (Dak. 10)
Amu 6:27—Mfano wa Gideoni unaweza kutusaidiaje katika huduma? (w05 1/15 26 ¶6)
Umepata hazina gani za kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili kumhusu Yehova, au ambazo ungependa kutumia katika utumishi wa shambani, au jambo lingine?
Usomaji wa Biblia: (Dak. 4) Amu 6:1-16 (th somo la 10)
BORESHA HUDUMA YAKO
Video ya Ziara ya Kwanza: (Dak. 5) Mazungumzo. Onyesha video Ziara ya Kwanza: Biblia—Ro 15:4. Simamisha video kila mara kunapokuwa na kituo, kisha uwaulize wasikilizaji maswali yanayoonyeshwa kwenye video.
Ziara ya Kwanza: (Dak. 4) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Kisha toa broshua Furahia Maisha Milele! (th somo la 6)
Ziara ya Kwanza: (Dak. 4) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Kisha toa broshua Furahia Maisha Milele! na umwonyeshe mwenye nyumba jinsi anavyoweza kujipatia nakala ya kielektroni. (th somo la 15)
MAISHA YA MKRISTO
“Mgawo Mkubwa Watimizwa kwa Roho Takatifu”: (Dak. 15) Mazungumzo. Onyesha video Kutokeza “The New World Society in Action”.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) rr sura ya 17 ¶1-8, video ya utangulizi
Umalizio (Dak. 3)
Wimbo 8 na Sala