Desemba 13-19
WAAMUZI 8-9
Wimbo 125 na Sala
Utangulizi (Dak. 1)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Unyenyekevu Ni Bora Kuliko Kiburi”: (Dak. 10)
Hazina za Kiroho: (Dak. 10)
Amu 8:27—Je, Gideoni aliabudu efodi aliyotengeneza? (it-1 753 ¶1)
Umepata hazina gani za kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili kumhusu Yehova, au ambazo ungependa kutumia katika utumishi wa shambani, au jambo lingine?
Usomaji wa Biblia: (Dak. 4) Amu 8:28–9:6 (th somo la 5)
BORESHA HUDUMA YAKO
Ziara ya Kurudia: (Dak. 3) Tumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. (th somo la 9)
Ziara ya Kurudia: (Dak. 4) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Kisha toa broshua Furahia Maisha Milele! na uanzishe funzo la Biblia. (th somo la 20)
Funzo la Biblia: (Dak. 5) lffi somo la 02 jambo kuu namba 4 (th somo la 13)
MAISHA YA MKRISTO
Mambo Yaliyotimizwa na Tengenezo: (Dak. 5) Onyesha video ya Desemba ya Mambo Yaliyotimizwa na Tengenezo.
Mahitaji ya Kutaniko: (Dak. 10)
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) rr sura ya 17 ¶9-14
Umalizio (Dak. 3)
Wimbo 22 na Sala