Desemba 20-26
WAAMUZI 10-12
Wimbo 127 na Sala
Utangulizi (Dak. 1)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Yeftha—Mwanamume wa Kiroho”: (Dak. 10)
Hazina za Kiroho: (Dak. 10)
Usomaji wa Biblia: (Dak. 4) Amu 10:1-18 (th somo la 5)
BORESHA HUDUMA YAKO
Ziara ya Kwanza: (Dak. 3) Tumia trakti Una Maoni Gani Kuhusu Biblia? unapoanza kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. (th somo la 1)
Ziara ya Kurudia: (Dak. 4) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Kisha toa broshua Furahia Maisha Milele! (th somo la 4)
Funzo la Biblia: (Dak. 5) lffi somo la 02 jambo kuu namba 5 (th somo la 3)
MAISHA YA MKRISTO
Maisha ya Wakfu kwa Yehova Tangu Utotoni: (Dak. 15) Mazungumzo. Onyesha video. Kisha uliza maswali yafuatayo: Video hiyo ilikufundisha nini kuhusu umuhimu wa kuwazoeza wengine? kujiweka wakfu unapokuwa kijana? kujitoa ili utumiwe na tengenezo la Yehova?
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) rr sura ya 17 ¶15-21
Umalizio (Dak. 3)
Wimbo 55 na Sala