Desemba 27–Januari 2
WAAMUZI 13-14
Wimbo 134 na Sala
Utangulizi (Dak. 1)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Mambo Ambayo Wazazi Wanajifunza Kutoka kwa Manoa na Mke Wake”: (Dak. 10)
Hazina za Kiroho: (Dak. 10)
Amu 14:2, 3—Mwanamke huyo Mfilisti ‘alimfaa’ Samsoni katika maana gani? (w05 3/15 26 ¶1)
Umepata hazina gani za kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili kumhusu Yehova, au ambazo ungependa kutumia katika utumishi wa shambani, au jambo lingine?
Usomaji wa Biblia: (Dak. 4) Amu 14:5-20 (th somo la 5)
BORESHA HUDUMA YAKO
“Ongeza Shangwe Yako Katika Huduma—Wafundishe Wanafunzi wa Biblia Kujilisha Kiroho”: (Dak. 10) Mazungumzo. Onyesha video Wasaidie Wanafunzi Wako wa Biblia Kujilisha Kiroho.
Funzo la Biblia: (Dak. 5) lffi somo la 02 muhtasari, ungejibuje, na lengo (th somo la 17)
MAISHA YA MKRISTO
Mahitaji ya Kutaniko: (Dak. 15)
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) rr sura ya 18 ¶1-8, video ya utangulizi
Umalizio (Dak. 3)
Wimbo 148 na Sala