Februari 21-27
1 SAMWELI 6-8
Wimbo 9 na Sala
Utangulizi (Dak. 1)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Mfalme Wako Ni Nani?”: (Dak. 10)
Hazina za Kiroho: (Dak. 10)
1Sa 7:3—Mstari huu unatufundisha nini kuhusu kugeuka na kutubu? (w02 4/1 12 ¶13)
Umepata hazina gani za kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili kumhusu Yehova, au ambazo ungependa kutumia katika utumishi wa shambani, au jambo lingine?
Usomaji wa Biblia: (Dak. 4) 1Sa 7:1-14 (th somo la 2)
BORESHA HUDUMA YAKO
Ziara ya Kwanza: (Dak. 3) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Toa gazeti linalopatana na habari ambayo mwenye nyumba ametokeza. (th somo la 12)
Ziara ya Kurudia: (Dak. 4) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Mwalike mwenye nyumba kwenye mikutano. (th somo la 18)
Funzo la Biblia: (Dak. 5) lffi muhtasari wa somo la 03, ungejibuje? na lengo (th somo la 20)
MAISHA YA MKRISTO
Mahitaji ya Kutaniko: (Dak. 10)
Je, Utatumikia Ukiwa Painia Msaidizi Mwezi wa Machi na Aprili?: (Dak. 5) Mazungumzo yakitegemea makala iliyo kwenye Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha la Januari-Februari 2021 ukurasa wa 16.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) rr sura ya 21 ¶1-6, video ya utangulizi, sanduku 21A
Umalizio (Dak. 3)
Wimbo 35 na Sala