Agosti 8-14
1 WAFALME 3–4
Wimbo 88 na Sala
Utangulizi (Dak. 1)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Thamani ya Hekima”: (Dak. 10)
Hazina za Kiroho: (Dak. 10)
1Fa 4:20—Maneno, “wengi sana kama chembe za mchanga kando ya bahari,” yanamaanisha nini? (w98 2/1 11 ¶15)
Umepata hazina gani za kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili kumhusu Yehova, au ambazo ungependa kutumia katika utumishi wa shambani, au jambo lingine?
Usomaji wa Biblia: (Dak. 4) 1Fa 3:1-14 (th somo la 5)
BORESHA HUDUMA YAKO
Ziara ya Kwanza: (Dak. 3) Anza kwa kutumia habari iliyo kwenye pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Fafanua mpango wetu wa kujifunza Biblia, na umpe mtu huyo kadi ya mawasiliano ya masomo ya Biblia. (th somo la 1)
Ziara ya Kurudia: (Dak. 4) Anza kwa kutumia habari iliyo kwenye pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Kisha utoe broshua Furahia Maisha Milele! na utoe utangulizi wa video Ni Nini Hutendeka Kwenye Funzo la Biblia? (lakini usionyeshe video). (th somo la 3)
Funzo la Biblia: (Dak. 5) lff somo la 06 jambo kuu namba 4 (th somo la 12)
MAISHA YA MKRISTO
Mahitaji ya Kutaniko: (Dak. 10)
Jiwekee Miradi kwa Ajili ya Mwaka Mpya wa Utumishi—Toa kwa Ukarimu: (Dak. 5) Mazungumzo. Onyesha video Kwa Imani Ingia Mlango Unaoongoza Kwenye Utendaji—‘Weka Kando Kitu Fulani’ kwa Ajili ya Kazi ya Yehova. Kisha waulize wasikilizaji, Wenzi hao wa ndoa walitoaje kwa ukarimu?
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) lff somo la 15 na maelezo ya ziada 2
Umalizio (Dak. 3)
Wimbo 14 na Sala