Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb22 Septemba uku. 10
  • Oktoba 10-16

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Oktoba 10-16
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2022
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2022
mwb22 Septemba uku. 10

Oktoba 10-16

1 WAFALME 19-20

  • Wimbo 33 na Sala

  • Utangulizi (Dak. 1)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

  • “Mtegemee Yehova Upate Faraja”: (Dak. 10)

  • Hazina za Kiroho: (Dak. 10)

    • 1Fa 19:19-21​—Simulizi hili linatufundisha nini kuhusu kukubali mgawo mpya katika utumishi wa Yehova? (w97 11/1 31 ¶2)

    • Umepata hazina gani za kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili kumhusu Yehova, au ambazo ungependa kutumia katika utumishi wa shambani, au jambo lingine?

  • Usomaji wa Biblia: (Dak. 4) 1Fa 19:1-14 (th somo la 12)

BORESHA HUDUMA YAKO

  • Video ya Ziara ya Kurudia: (Dak. 5) Mazungumzo. Onyesha Video Ziara ya Kurudia: Biblia​—Ayu 26:7. Simamisha video kila mara kunapokuwa na kituo, kisha uwaulize wasikilizaji maswali yanayojitokeza kwenye video.

  • Ziara ya Kurudia: (Dak. 3) Tumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. (th somo la 18)

  • Funzo la Biblia: (Dak. 5) lff somo la 07 jambo kuu la 7 na Watu Fulani Husema (th somo la 7)

MAISHA YA MKRISTO

  • Wimbo 145

  • Dumisha Mtazamo Unaofaa: (Dak. 15) Mazungumzo. Onyesha video. Kisha waulize wasikilizaji: Ni kanuni gani za Biblia zinazoweza kutusaidia kudumisha mtazamo unaofaa? Yehova alimfariji Eliya kwa njia gani? Yehova anatufariji na kututunza kwa njia gani?

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) lff somo la 22

  • Umalizio (Dak. 3)

  • Wimbo 57 na Sala

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki