Oktoba 24-30
2 WAFALME 1-2
Wimbo 79 na Sala
Utangulizi (Dak. 1)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Mfano Mzuri wa Kuwazoeza Wengine”: (Dak. 10)
Hazina za Kiroho: (Dak. 10)
2Fa 2:11—Eliya alienda wapi baada ya ‘kupanda kuelekea mbinguni katika dhoruba ya upepo’? (w05 8/1 9 ¶1)
Umepata hazina gani za kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili kumhusu Yehova, au ambazo ungependa kutumia katika utumishi wa shambani, au jambo lingine?
Usomaji wa Biblia: (Dak. 4) 2Fa 2:1-10 (th somo la 10)
BORESHA HUDUMA YAKO
Ziara ya Kwanza: (Dak. 3) Tumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Shughulikia kizuia-mazungumzo cha kawaida katika eneo lenu. (th somo la 12)
Ziara ya Kurudia: (Dak. 4) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Eleza kuhusu programu yetu ya kujifunza Biblia bila malipo, kisha mpe kadi ya mwaliko wa mtaala wa kujifunza Biblia. (th somo la 13)
Funzo la Biblia: (Dak. 5) lff somo la 07 muhtasari, ungejibuje, na lengo (th somo la 14)
MAISHA YA MKRISTO
“Sehemu Muhimu za Furahia Maisha Milele!”: (Dak. 15) Mazungumzo. Mhoji kifupi mhubiri anayeongoza funzo la Biblia kupitia Furahia Maisha Milele! Muulize mhubiri huyo hivi: Umefurahia mambo gani ulipotumia kifaa hiki cha kujifunzia? Video na maswali ya maoni yanamwathirije mwanafunzi?
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) lff somo la 24
Umalizio (Dak. 3)
Wimbo 66 na Sala