Novemba 7-13
2 WAFALME 5-6
Wimbo 55 na Sala
Utangulizi (Dak. 1)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Walio Pamoja Nasi Ni Wengi Kuliko Walio Pamoja Nao”: (Dak. 10)
Hazina za Kiroho: (Dak. 10)
2Fa 5:15, 16—Kwa nini Elisha alikataa zawadi ya Naamani, na tunaweza kujifunza somo gani? (w05 8/1 9 ¶2)
Umepata hazina gani za kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili kumhusu Yehova, au ambazo ungependa kutumia katika utumishi wa shambani, au jambo lingine?
Usomaji wa Biblia: (Dak. 4) 2Fa 5:1-14 (th somo la 2)
BORESHA HUDUMA YAKO
Video ya Ziara ya Kwanza: (Dak. 5) Mazungumzo. Onyesha video yenye kichwa Ziara ya Kwanza: Habari Njema—Zb 37:10, 11. Simamisha video kila mara kunapokuwa na kituo, kisha uwaulize wasikilizaji maswali yanayojitokeza kwenye video.
Ziara ya Kwanza: (Dak. 3) Anza kwa kutumia habari iliyo kwenye pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Shughulikia kizuia-mazungumzo cha kawaida. (th somo la 12)
Funzo la Biblia: (Dak. 5) lff somo la 08 utangulizi na jambo kuu la 1-3 (th somo la 15)
MAISHA YA MKRISTO
“Muwe na Mazoea ya Kuwapa Watu”: (Dak. 15) Mazungumzo yakiongozwa na mzee. Onyesha video Tunashukuru Kwamba Mmekuwa na Zoea la Kutoa. Pongeza kutaniko kwa njia hususa ambazo wamekuwa wakitoa.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) lff somo la 26
Umalizio (Dak. 3)
Wimbo 30 na Sala