Novemba 21-27
2 WAFALME 9-10
Wimbo 126 na Sala
Utangulizi (Dak. 1)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Alitenda kwa Ujasiri, Udumifu, na kwa Bidii”: (Dak. 10)
Hazina za Kiroho: (Dak. 10)
2Fa 10:29, 31—Tunaweza kujifunza nini kutokana na kosa la Yehu? (w11 11/15 5 ¶6-7)
Umepata hazina gani za kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili kumhusu Yehova, au ambazo ungependa kutumia katika utumishi wa shambani, au jambo lingine?
Usomaji wa Biblia: (Dak. 4) 2Fa 9:1-14 (th somo la 10)
BORESHA HUDUMA YAKO
Ziara ya Kwanza: (Dak. 3) Anza kwa kutumia habari iliyo kwenye pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Toa chapisho kutoka kwenye Sanduku la Vifaa vya Kufundishia. (th somo la 1)
Ziara ya Kurudia: (Dak. 4) Anza kwa kutumia habari iliyo kwenye pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Mweleze kuhusu programu yetu ya kujifunza Biblia bila malipo, kisha utoe broshua Furahia Maisha Milele! Toa utangulizi wa video Ni Nini Hutendeka Kwenye Funzo la Biblia? (lakini usionyeshe video), kisha mzungumze kuihusu. (th somo la 12)
Hotuba: (Dak. 5) w13 5/15 8-9 ¶3-6—Kichwa: Iga Bidii ya Yehova na Yesu. (th somo la 16)
MAISHA YA MKRISTO
Vijana Wenzako Wanasema Nini?—Kuahirisha Mambo: (Dak. 5) Mazungumzo. Onyesha video. Kisha waulize wasikilizaji: Ni nini kinachoweza kumfanya mtu kuahirisha mambo? Kwa nini tunakuwa na furaha zaidi wakati ambapo hatuahirishi mambo?
“Msaada wa Kuepuka Kuahirisha Mambo”: (Dak. 10) Mazungumzo.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) lff somo la 28
Umalizio (Dak. 3)
Wimbo 19 na Sala