Novemba 28–Desemba 4
2 WAFALME 11-12
Wimbo 59 na Sala
Utangulizi (Dak. 1)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Mwanamke Mwovu, Aliyejitakia Makuu Aadhibiwa”: (Dak. 10)
Hazina za Kiroho: (Dak. 10)
2Fa 12:1—Kwa nini ilikuwa muhimu kwa Yehova kumlinda Yehoashi asiuawe? (it-1 1265-1266)
Umepata hazina gani za kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili kumhusu Yehova, au ambazo ungependa kutumia katika utumishi wa shambani, au jambo lingine?
Usomaji wa Biblia: (Dak. 4) 2Fa 11:1-12 (th somo la 5)
BORESHA HUDUMA YAKO
Ziara ya Kwanza: (Dak. 3) Anza kwa kutumia habari iliyo kwenye pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Kisha mwalike mtu huyo kwenye mikutano, toa utangulizi wa video Ni Nini Hutendeka Katika Jumba la Ufalme? (lakini usionyeshe video), kisha mzungumze kuihusu. (th somo la 4)
Ziara ya Kurudia: (Dak. 4) Anza kwa kutumia habari iliyo kwenye pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Mweleze kuhusu programu yetu ya kujifunza Biblia bila malipo, kisha toa broshua Furahia Maisha Milele! Toa utangulizi wa video Ni Nini Hutendeka Kwenye Funzo la Biblia? (lakini usionyeshe video), kisha mzungumze kuihusu. (th somo la 3)
Funzo la Biblia: (Dak. 5) lff somo la 08 utangulizi wa Chimba Zaidi na jambo kuu la 4 (th somo la 6)
MAISHA YA MKRISTO
“Kwa Nini Wakristo Wanapaswa Kujitahidi Kufikia Mapendeleo?”: (Dak. 15) Mazungumzo. Onyesha video Kwa Nini Ujitahidi Kustahili Mapendeleo? (1Ti 3:1)
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) lff somo la 29
Umalizio (Dak. 3)
Wimbo 77 na Sala