Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb23 Mei uku. 8
  • Mei 29–Juni 4

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Mei 29–Juni 4
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2023
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2023
mwb23 Mei uku. 8

Mei 29–Juni 4

2 MAMBO YA NYAKATI 28-29

  • Wimbo 54 na Sala

  • Utangulizi (Dak. 1)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

  • “Unaweza Kumtumikia Yehova Licha ya Malezi Yasiyofaa”: (Dak. 10)

  • Hazina za Kiroho: (Dak. 10)

    • 2Nya 29:25—Mfano wa Nathani unatufundisha nini kuhusu manufaa ya kukubali kurekebishwa na Yehova? (w12 2/15 24-25)

    • Umepata hazina gani za kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili kumhusu Yehova, au ambazo ungependa kutumia katika utumishi wa shambani, au jambo lingine?

  • Usomaji wa Biblia: (Dak. 4) 2Nya 28:1-11 (th somo la 10)

BORESHA HUDUMA YAKO

  • Ziara ya Kwanza: (Dak. 3) Anza kwa kutumia habari iliyo kwenye pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Shughulikia kizuia-mazungumzo cha kawaida katika eneo lenu. (th somo la 4)

  • Ziara ya Kurudia: (Dak. 3) Anza kwa kutumia habari iliyo kwenye pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Toa chapisho kutoka kwenye Sanduku la Vifaa vya Kufundishia. (th somo la 19)

  • Funzo la Biblia: (Dak. 6) lff somo la 10 jambo kuu la 4 (th somo la 13)

MAISHA YA MKRISTO

  • Wimbo 56

  • “Yehova Ni ‘Baba wa Mayatima’”: (Dak. 8) Mazungumzo na video.

  • Mahitaji ya Kutaniko: (Dak. 7)

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) lff somo la 47

  • Umalizio (Dak. 3)

  • Wimbo 86 na Sala

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki