Desemba 4-10
AYUBU 22-24
Wimbo 49 na Sala
Utangulizi (Dak. 1)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Je, Mwanadamu Anaweza Kuwa na Faida kwa Mungu?”: (Dak. 10)
Hazina za Kiroho: (Dak. 10)
Ayu 23:13—Mfano wa Yehova unaweza kutusaidiaje kufikia miradi ya kiroho? (w04 7/15 21-22)
Umepata hazina gani za kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili kumhusu Yehova, au ambazo ungependa kutumia katika utumishi wa shambani, au jambo lingine?
Usomaji wa Biblia: (Dak. 4) Ayu 22:1-22 (th somo la 5)
BORESHA HUDUMA YAKO
Ziara ya Kwanza: (Dak. 3) Anza kwa kutumia habari iliyo kwenye pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Mweleze mwenye nyumba kuhusu tovuti yetu, na umwachie kadi ya mawasiliano ya jw.org. (th somo la 11)
Ziara ya Kurudia: (Dak. 4) Anza kwa kutumia habari iliyo kwenye pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Toa utangulizi wa video Kwa Nini Ujifunze Biblia? (lakini usionyeshe video) kisha mzungumze kuihusu. (th somo la 2)
Hotuba: (Dak. 5) w21.05 18-19 ¶17-20—Kichwa: Mtazamo Unaofaa Unatusaidia Tuendelee Kutumiwa na Yehova. (th somo la 20)
MAISHA YA MKRISTO
“Wazazi—Wafundisheni Watoto Wenu Jinsi ya Kumfanya Mungu Ashangilie”: (Dak. 10) Mazungumzo na video.
Mahitaji ya Kutaniko: (Dak. 5)
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) bt sura ya 3 ¶1-3, masanduku uku. 23, 24, 25, 26, na 27
Umalizio (Dak. 3)
Wimbo 25 na Sala