Desemba 11-17
AYUBU 25-27
Wimbo 34 na Sala
Utangulizi (Dak. 1)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Si Lazima Uwe Mkamilifu Ili Uwe Mtimilifu”: (Dak. 10)
Hazina za Kiroho: (Dak. 10)
Ayu 26:14—Tunachochewa kusema nini tunapotafakari mambo machache sana tunayofahamu kuhusu uumbaji? (w16.11 9 ¶3)
Umepata hazina gani za kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili kumhusu Yehova, au ambazo ungependa kutumia katika utumishi wa shambani, au jambo lingine?
Usomaji wa Biblia: (Dak. 4) Ayu 25:1–26:14 (th somo la 12)
BORESHA HUDUMA YAKO
Ziara ya Kwanza: (Dak. 2) Tumia habari iliyo kwenye pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Shughulikia kizuia-mazungumzo cha kawaida. (th somo la 1)
Ziara ya Kurudia: (Dak. 5) Anza kwa kutumia habari iliyo kwenye pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Mwonyeshe mwenye nyumba jinsi ya kupata habari anazopenda kwenye jw.org. (th somo la 17)
Funzo la Biblia: (Dak. 5) lff somo la 13 utangulizi na jambo kuu la 1-3 (th somo la 15)
MAISHA YA MKRISTO
“Utimilifu na Mawazo Yako”: (Dak. 5) Mazungumzo.
Mambo Yaliyotimizwa na Tengenezo: (Dak. 10) Onyesha video ya Desemba ya Mambo Yaliyotimizwa na Tengenezo.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) bt sura ya 3 ¶4-11
Umalizio (Dak. 3)
Wimbo 57 na Sala