Desemba 18-24
AYUBU 28-29
Wimbo 39 na Sala
Utangulizi (Dak. 1)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Je, Unajulikana kwa Sifa Kama za Ayubu?”: (Dak. 10)
Hazina za Kiroho: (Dak. 10)
Ayu 29:24—Tunaweza kujifunza nini kutokana na mfano wa Ayubu? (g00 7/8 11 ¶3)
Umepata hazina gani za kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili kumhusu Yehova, au ambazo ungependa kutumia katika utumishi wa shambani, au jambo lingine?
Usomaji wa Biblia: (Dak. 4) Ayu 28:1-28 (th somo la 5)
BORESHA HUDUMA YAKO
Ziara ya Kwanza: (Dak. 3) Anza kwa kutumia habari iliyo kwenye pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Kisha toa broshua Furahia Maisha Milele! (th somo la 3)
Ziara ya Kurudia: (Dak. 4) Anza kwa kutumia habari iliyo kwenye pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Toa broshua Furahia Maisha Milele! na mzungumzie kwa ufupi sehemu yenye kichwa “Jinsi ya Kunufaika Zaidi na Masomo Haya ya Biblia.” (th somo la 17)
Funzo la Biblia: (Dak. 5) lff somo la 13 utangulizi wa Chimba Zaidi na jambo kuu la 4 (th somo la 6)
MAISHA YA MKRISTO
“Mchango Wangu kwa Sifa Yetu Nzuri”: (Dak. 15) Mazungumzo na video.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) bt sura ya 3 ¶12-18
Umalizio (Dak. 3)
Wimbo 50 na Sala