Toleo la Funzo
AGOSTI 2020
MAKALA ZA FUNZO: SEPTEMBA 28–NOVEMBA 1, 2020
© 2020 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
Gazeti hili haliuzwi. Ni sehemu ya kazi ya elimu ya Biblia ya ulimwenguni pote inayotegemezwa kwa michango ya hiari. Ikiwa ungependa kutoa mchango, tafadhali tembelea donate.jw.org.
Isipokuwa iwe imeonyeshwa vingine, Maandiko yamenukuliwa kutoka katika Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya.
PICHA KWENYE JALADA:
Yesu anaonyeshwa akiwa mbinguni. Waliosimama kando yake ni baadhi ya watawala wenzake. Kwa pamoja wanatazama kundi kubwa la malaika. Baadhi ya malaika wanashuka duniani kwenda kutekeleza migawo yao. Yehova amewakabidhi majukumu wote walioonyeshwa kwenye picha (Tazama makala ya 32, fungu la 5)