Toleo la Funzo
MEI 2021
MAKALA ZA FUNZO: JULAI 5–AGOSTI 1, 2021
© 2021 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
Gazeti hili haliuzwi. Ni sehemu ya kazi ya elimu ya Biblia ya ulimwenguni pote inayotegemezwa kwa michango ya hiari. Ikiwa ungependa kutoa mchango, tafadhali tembelea donate.jw.org.
Isipokuwa iwe imeonyeshwa vingine, Maandiko yamenukuliwa kutoka katika Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya.
PICHA KWENYE JALADA:
Baada ya Yesu kwenda mbinguni, wanafunzi wake wanahubiri kwa bidii katika Yerusalemu na maeneo mengine mengi (Tazama makala ya 20, fungu la 1)