Toleo la Funzo
DESEMBA 2021
MAKALA ZA FUNZO: JANUARI 31–FEBRUARI 27, 2022
© 2021 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
Gazeti hili haliuzwi. Ni sehemu ya kazi ya elimu ya Biblia ya ulimwenguni pote inayotegemezwa kwa michango ya hiari. Ikiwa ungependa kutoa mchango, tafadhali tembelea donate.jw.org.
Isipokuwa iwe imeonyeshwa vingine, Maandiko yamenukuliwa kutoka katika Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya.
PICHA KWENYE JALADA:
Maneno “Utakatifu ni wa Yehova” yaliandikwa katika bamba la dhahabu lililokuwa kwenye kilemba cha kuhani mkuu. (Tazama makala ya 48, fungu la 6 na 7)