Toleo la Funzo
JANUARI 2022
MAKALA ZA FUNZO: FEBRUARI 28–APRILI 3, 2022
© 2021 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
ANDIKO LA MWAKA WA 2022:
“Wale wanaomtafuta Yehova hawatakosa chochote chema.”—ZAB. 34:10
Gazeti hili haliuzwi. Ni sehemu ya kazi ya elimu ya Biblia ya ulimwenguni pote inayotegemezwa kwa michango ya hiari. Ikiwa ungependa kutoa mchango, tafadhali tembelea donate.jw.org.
Isipokuwa iwe imeonyeshwa vingine, Maandiko yamenukuliwa kutoka katika Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya.
PICHA KWENYE JALADA:
Wakati wa dhiki kuu, huenda majeshi ya Gogu wa Magogu yakajaribu kutushambulia tukiwa nyumbani. Lakini tunafarijika kujua kwamba Yesu na malaika wake wanajua kinachotukia nao watatulinda (Tazama makala ya 1, fungu la 13)