Toleo la Funzo
MEI 2023
MAKALA ZA FUNZO: JULAI 10–AGOSTI 13, 2023
© 2023 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
Gazeti hili haliuzwi. Ni sehemu ya kazi ya elimu ya Biblia ya ulimwenguni pote inayotegemezwa kwa michango ya hiari. Ikiwa ungependa kutoa mchango, tafadhali tembelea donate.jw.org.
Isipokuwa iwe imeonyeshwa vingine, Maandiko yamenukuliwa kutoka katika Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya.
PICHA KWENYE JALADA:
Tangu mwaka wa 1919 W.K., mamilioni ya wanaume, wanawake, na watoto wametoka katika Babiloni Mkubwa na wameanza kutembea kwenye “Njia ya Utakatifu.” (Tazama makala ya 22, fungu la 8)