Toleo la Funzo
AGOSTI 2023
MAKALA ZA FUNZO: OKTOBA 9–NOVEMBA 5, 2023
© 2023 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
Gazeti hili haliuzwi. Ni sehemu ya kazi ya elimu ya Biblia ya ulimwenguni pote inayotegemezwa kwa michango ya hiari. Ikiwa ungependa kutoa mchango, tafadhali tembelea donate.jw.org.
Isipokuwa iwe imeonyeshwa vingine, Maandiko yamenukuliwa kutoka katika Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya.
PICHA KWENYE JALADA:
Yehova amthawabisha Danieli kwa sababu ya kuwa mshikamanifu kwa kumtuma malaika na kufunga vinywa vya simba (Tazama makala ya 33, fungu la 11)