Toleo la Funzo
NOVEMBA 2023
MAKALA ZA FUNZO: JANUARI 8–FEBRUARI 4, 2024
© 2023 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
Gazeti hili haliuzwi. Ni sehemu ya kazi ya elimu ya Biblia ya ulimwenguni pote inayotegemezwa kwa michango ya hiari. Ikiwa ungependa kutoa mchango, tafadhali tembelea donate.jw.org.
Isipokuwa iwe imeonyeshwa vingine, Maandiko yamenukuliwa kutoka katika Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya.
PICHA KWENYE JALADA:
Ezra akilia na kusali hekaluni kwa sababu ya kuhuzunishwa na dhambi za watu. Umati wa watu pia unalia. Shekania anamfariji Ezra kwa kumhakikishia hivi: “Bado kuna tumaini kwa Israeli. . . . Nasi tuko pamoja nawe.”—Ezra 10:2, 4 (Tazama makala ya 48, fungu la 17)