Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w23 Desemba kur. 1-32
  • Toleo la Funzo

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Toleo la Funzo
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2023
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2023
w23 Desemba kur. 1-32
Ndugu na dada kijana wakifurahia kufikia ukomavu wa Kikristo. Dada anatafakari huku akiwa ameshika Biblia yake; ndugu anashiriki katika huduma ya shambani. Mkusanyo wa picha: Ndugu na dada vijana wakomavu wakishiriki katika utendaji wa kitheokrasi. 1. Dada akitayarisha meza katika chumba cha kulia chakula Betheli. 2. Dada wawili wakimsomea andiko mwanamke katika huduma ya shambani. 3. Dada kijana akifanya utumishi wa kigari pamoja na dada aliyezeeka. 4. Ndugu kijana anamsaidia ndugu aliyezeeka kutumia tablet yake. 5. Ndugu akiwa jukwaani anasoma Biblia wakati wa mkutano wa kutaniko. 6. Ndugu akitumia msumeno katika mradi wa ujenzi wa majengo ya kitheokrasi.

Toleo la Funzo

DESEMBA 2023

MAKALA ZA FUNZO: FEBRUARI 5–MACHI 3, 2024

© 2023 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania

Gazeti hili haliuzwi. Ni sehemu ya kazi ya elimu ya Biblia ya ulimwenguni pote inayotegemezwa kwa michango ya hiari. Ikiwa ungependa kutoa mchango, tafadhali tembelea donate.jw.org.

Isipokuwa iwe imeonyeshwa vingine, Maandiko yamenukuliwa kutoka katika Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya.

PICHA KWENYE JALADA:

Wanaume na wanawake wengi vijana wamekuwa Wakristo wakomavu baada ya kufundishwa kupitia Maandiko na kutumia mambo waliyojifunza (Tazama makala ya 52, fungu la 21, na makala ya 53, fungu la 19-20)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki