Ukurasa wa Kichwa/Ukurasa wa Wachapishaji
Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova 1988
Kina Ripoti ya Mwaka wa Utumishi wa 1987
“Tumaini katika Yehova na kushika njia yake” ndilo andiko la kichwa cha 1988 cha Mashahidi wa Yehova wanaposonga mbele kwenye miisho ya dunia katika kazi ya kuhubiri na kufanya wanafunzi.—Zab. 37:34, NW.