Ukurasa wa Kichwa/Ukurasa wa Wachapishaji
Kitabu-Mwaka cha Mashahidi wa Yehova 1990
Kina Ripoti ya Mwaka wa Utumhisi wa 1989
“Mwe wenye moyo mkuu na kusema: ‘Yehova ndiye msaidiaji wangu.’” Maneno haya yaliyoandikwa na mtume Paulo ndiyo kichwa cha andiko la 1990 la Mashahidi wa Yehova. Na yatutie nguvu leo kama yalivyowafanya Wakristo wa kale.—Ebr. 13:6, NW.