Ukurasa wa Kichwa/Ukurasa wa Wachapishaji
Kitabu-Mwaka cha Mashahidi wa Yehova 1992
Kina Ripoti ya Mwaka wa Utumishi wa 1991
Ulimwengu unapokaza mwendo zaidi na zaidi ili kupata uhuru wao, acheni sisi, tukiwa Mashahidi wa Yehova, tushikamane sisi kwa sisi zaidi na zaidi tushangiliapo tumaini letu lenye kuungamanisha na kuzidi kuwa imara katika sala. Hivyo, andiko letu la mwaka 1992 ni: “Kwa tumaini, mkifurahi; . . . katika kusali, mkidumu.”—Rum. 12:12.