Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • yb15 uku. 80-uku. 81 fu. 1
  • Jamhuri ya Dominika

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Jamhuri ya Dominika
  • 2015 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
2015 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
yb15 uku. 80-uku. 81 fu. 1
Picha ya ukurasa mzima katika ukurasa wa 80

Jamhuri ya Dominika

MNAMO 1492, Christopher Columbus aligundua Ulimwengu Mpya, yaani, maeneo mapya yenye utajiri mwingi na maridadi sana. La Isla Española, au Hispaniola ni mojawapo ya visiwa alivyofikia, na sehemu kubwa ya kisiwa hicho ndiyo Jamhuri ya Dominika ya sasa. Hivi karibuni, maelfu ya wakazi wa Jamhuri ya Dominika wamejifunza jambo tofauti, yaani, ulimwengu mpya wenye uadilifu ambao utakuwa chini ya Ufalme wa Mungu. (2 Pet. 3:13) Historia ifuatayo inaonyesha jinsi ambavyo watu wenye mioyo minyofu wamejifunza jambo hilo lenye thamani sana.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki