Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • nwt kur. 2086-2087
  • B1 Ujumbe wa Biblia

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • B1 Ujumbe wa Biblia
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Vichwa vidogo
  • Habari Zinazolingana
  • Baada ya 4026 K.W.K.
  • 1943 K.W.K.
  • Baada ya 1070 K.W.K.
  • 29  W.K.
  • 33 W.K.
  • Karibu 1914 W.K.
  • Wakati Ujao
  • Unabii wa Kale Unaokuhusu
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2022
  • Yehova Anafunua Kusudi Lake
    Ufalme wa Mungu Unatawala!
  • Mbegu ya Nyoka—Yafunuliwaje?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1996
  • Upatano wa Biblia Yote
    Biblia—Neno la Mungu au la Binadamu?
Pata Habari Zaidi
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
B1 Ujumbe wa Biblia

B1

Ujumbe wa Biblia

Makala Iliyochapishwa

Yehova Mungu ana haki ya kutawala. Njia yake ya kutawala ndiyo njia bora kabisa. Kusudi lake kwa ajili ya dunia na wanadamu litatimia.

Adamu na Hawa katika Bustani ya Edeni nyoka akiwa karibu nao

Baada ya 4026 K.W.K.

“Yule nyoka” atilia shaka haki ya Yehova ya kutawala na njia yake ya kutawala. Yehova aahidi kutokeza “uzao,” au “mbegu,” ambaye hatimaye atamponda yule nyoka, Shetani. (Mwanzo 3:1-5, 15, maelezo ya chini) Hata hivyo, Yehova aruhusu muda upite ili wanadamu wajitawale chini ya uongozi wa yule nyoka.

Abrahamu asikia ahadi ya Mungu

1943 K.W.K.

Yehova amwambia Abrahamu kwamba “uzao” ulioahidiwa utatoka miongoni mwa wazao wake.—Mwanzo 22:18.

Mfalme Daudi

Baada ya 1070 K.W.K.

Yehova amhakikishia Mfalme Daudi na baadaye Sulemani mwanawe kwamba “uzao” ulioahidiwa ungetokea kwenye ukoo wao.—2 Samweli 7:12, 16; 1 Wafalme 9:3-5; Isaya 9:6, 7.

Yesu anapobatizwa

29  W.K.

Yehova amtambulisha Yesu kuwa “uzao” ulioahidiwa na Mrithi wa kiti cha ufalme cha  Daudi.—Wagalatia 3:16; Luka 1:31-33; 3:21, 22.

Yesu anaopokufa

33 W.K.

Yule nyoka, Shetani, aujeruhi kwa muda mfupi ule “uzao” ulioahidiwa kwa kusababisha Yesu auawe. Yehova amfufua Yesu akaishi mbinguni, naye akubali thamani ya uhai mkamilifu wa Yesu, na hivyo kuweka msingi wa kusamehe dhambi na kuwapa wazao wa Adamu uzima wa milele.—Mwanzo 3:15; Matendo 2:32-36; 1 Wakorintho 15:21, 22.

Yule nyoka, Shetani akivurumishwa duniani kulingana na ahadi katika Ufunuo

Karibu 1914 W.K.

Yesu amvurumisha duniani yule nyoka, Shetani, na kumzuia humo kwa muda mfupi. —Ufunuo 12:7-9, 12.

Yesu akitawala dunia akiwa katika kiti chake cha Ufalme mbinguni kulingana na ahadi katika Ufunuo

Wakati Ujao

Yesu amfunga Shetani kwa miaka 1,000 kisha amwangamiza, na hivyo kumponda kichwa kwa njia ya mfano. Kusudi la Yehova la awali kwa ajili ya dunia na wanadamu latimia, jina lake laondolewa suto na njia yake ya kutawala yatetewa.—Ufunuo 20:1-3, 10; 21:3, 4.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki