Ukurasa wa Pili
Je, Kutakuwa na Maji ya Kutosha? 3-13
Hakuna kitu kinachotumiwa vibaya kama vile maji. Yanathaminiwa tu yanapokwisha. Jifunze kwa nini hali hiyo inatukia katika maeneo fulani ulimwenguni na hatua inayoweza kuchukuliwa.
Eneo Lenye Maua ya Pekee 16
Jimbo la Fynbos nchini Afrika Kusini lina maelfu ya jamii za mimea ambayo haipatikani penginepo ulimwenguni.
Je, Mungu Atasikiliza Sala Zangu? 25
Kuna uhakikisho gani kwamba Mungu atasikiliza sala zako? Unaweza kumkaribiaje Mungu?
[Hisani ya Picha katika ukurasa wa 2]
UN PHOTO 156663/John Isaac
Nigel Dennis