Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • g 8/07 kur. 27-31
  • Ungejibuje?

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Ungejibuje?
  • Amkeni!—2007
  • Vichwa vidogo
  • Habari Zinazolingana
  • LILITUKIA WAPI?
  • ILITUKIA LINI?
  • MIMI NI NANI?
  • MIMI NI NANI?
  • KATIKA TOLEO HILI
  • Watoto Watafute Picha
  • MAJIBU YA UKURASA WA 31
  • Ungejibuje?
    Amkeni!—2007
  • Ungejibuje?
    Amkeni!—2007
  • Ungejibuje?
    Amkeni!—2006
  • Ungejibuje?
    Amkeni!—2007
Pata Habari Zaidi
Amkeni!—2007
g 8/07 kur. 27-31

Ungejibuje?

LILITUKIA WAPI?

1. Huenda tukio hili lilitukia karibu na jiji gani?

Zungushia duara jibu lako kwenye ramani.

Babiloni

Shushani

Uru

◆ Taja majina ya Kiebrania ya Waisraeli hawa watatu.

․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․

․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․

․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․

◆ Kwa nini hawasujudu kama wanavyofanya wengine?

․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․

◼ Zungumzeni Pamoja: Unaweza kushinikizwa uabudu sanamu za aina gani? Unaweza kukitumiaje kielelezo cha Waebrania hao watatu?

ILITUKIA LINI?

Taja jina la kila mwandishi aliyeandika kitabu cha Biblia kilichoorodheshwa hapa chini, na uchore mstari unaounganisha kitabu na tarehe kilipokamilishwa kuandikwa.

1000 K.W.K. 607 K.W.K. 36 W.K. 51 W.K. 61-64 W.K.

2 1 Timotheo

3 Mhubiri

4 2 Wathesalonike

MIMI NI NANI?

5. Mama yangu alinipa shauri zuri sana.

MIMI NI NANI?

6. Jina langu la Kigiriki ni Sila, na mimi ni mtu yuleyule anayetajwa katika maandishi ya Petro, Paulo na Luka.

KATIKA TOLEO HILI

Jibu maswali haya na utaje mistari ya Biblia ambayo haijaonyeshwa.

Ukurasa wa 4 Upendo ni nini? (Wakolosai 3:____)

Ukurasa wa  6 Wazazi wanaowapenda watoto wao watafanya nini? (Methali 13:____)

Ukurasa wa  11 Mfalme Daudi alifurahi wakati gani? (Zaburi 122:____)

Ukurasa wa 14 Tunapaswa kuwa na mtazamo gani kuhusu porojo inayodhuru? (1 Wathesalonike 4:____)

Watoto Watafute Picha

Je, unaweza kupata picha hizi katika toleo hili? Kwa maneno yako mwenyewe, eleza jambo linalotendeka katika kila picha.

(Majibu kwenye ukurasa wa 27)

MAJIBU YA UKURASA WA 31

1. Babiloni.—Danieli 3:1.

◆ Hanania, Mishaeli, na Azaria.—Danieli 1:7.

◆ Walimwabudu Yehova pekee.—Danieli 3:16-18.

2. Paulo, 61-64 W.K.

3. Sulemani, kabla ya 1000 K.W.K.

4. Paulo, 51 W.K.

5. Lemueli.—Methali 31:1.

6. Silvano.—1 Wathesalonike 1:1.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki