Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • g 1/08 uku. 31
  • Ungejibuje?

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Ungejibuje?
  • Amkeni!—2008
  • Vichwa vidogo
  • Habari Zinazolingana
  • Ni Nini Kimekosekana Katika Picha Hii?
  • Katika Toleo Hili
  • Watoto Watafute Picha
  • Ni Nani Aliye Katika Nasaba ya Yesu?
  • MAJIBU YA UKURASA WA 31
  • Ungejibuje?
    Amkeni!—2008
  • Ungejibuje?
    Amkeni!—2008
  • Mazungumzo ya Familia
    Amkeni!—2010
  • Ungejibuje?
    Amkeni!—2008
Pata Habari Zaidi
Amkeni!—2008
g 1/08 uku. 31

Ungejibuje?

Ni Nini Kimekosekana Katika Picha Hii?

Soma 1 Samweli 17:38-51. Kisha utazame picha. Ni vitu gani ambavyo vimekosekana? Andika majibu yako kwenye mistari iliyo hapa chini, na ukamilishe picha hiyo kwa kuchora vitu ambavyo havipo.

1. ․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․

2. ․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․

3. ․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․

ZUNGUMZENI PAMOJA:

Kwa nini Daudi alifaulu kumpiga Goliathi? Simulizi hilo linawezaje kukutia moyo unapokabili matatizo?

Katika Toleo Hili

Jibu maswali haya na utaje mistari ya Biblia ambayo haijaonyeshwa.

UKURASA WA 7 Waume wanapaswa kuendelea kuwapa wake zao nini? 1 Petro 3:________

UKURASA WA 20 Tunapochagua mchezo wa kompyuta, tunapaswa kuhakikisha nini? Waefeso 5:________

UKURASA WA 29 Kwa nini wake wanapaswa kujitiisha kwa waume zao? 1 Wakorintho 11:________

UKURASA WA 29 Waume wanapaswa kuendelea kufanya nini? Waefeso 5:________

Watoto Watafute Picha

Je, unaweza kupata picha hizi katika toleo hili? Kwa maneno yako mwenyewe, eleza jambo linalotendeka katika kila picha.

Ni Nani Aliye Katika Nasaba ya Yesu?

Fikiria madokezo. Soma maandiko. Kisha uandike majina sahihi katika nafasi zilizoonyeshwa.

4. ․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․

DOKEZO: Niliitwa mwana kwa mfano wa Adamu, “kwa sura yake.”

Soma Mwanzo 5:3.

5. ․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․

DOKEZO: Katika siku zangu, ‘watu walianza kuliitia jina la Yehova.’

Soma Mwanzo 4:26.

6. ․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․

DOKEZO: Mjukuu wangu ndiye mtu pekee ambaye amerekodiwa kuwa aliishi muda mrefu kuliko mimi.

Soma Mwanzo 5:18-21, 27.

◼ Majibu kwenye ukurasa wa 14

MAJIBU YA UKURASA WA 31

1. Upanga wa Goliathi.

2. Mkuki wa Goliathi.

3. Kombeo la Daudi.

4. Sethi.—Luka 3:38.

5. Enoshi.—Luka 3:38.

6. Yaredi.—Luka 3:37.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki