Yaliyomo
Machi 2013
© 2013 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania. All rights reserved.
HABARI KUU: Jinsi ya Kuwa Baba Mzuri 4-7
HABARI ZAIDI KWENYE
MATINEJA
VIJANA HUULIZA
NINAWEZAJE KUACHA KUAHIRISHA MAMBO?
Je, umechoshwa na tabia yako ya kumaliza kazi za nyumbani na za shuleni ukiwa umechelewa? Kwa kweli unapaswa kuacha kuahirisha mambo! Makala hii itakusaidia hata kama unahisi umelemewa na kazi fulani, huna kichocheo cha kufanya kazi hiyo, au tayari una shughuli nyingi sana.
Tafuta chini ya (MAFUNDISHO YA BIBLIA/MATINEJA)
WATOTO
Soma hadithi za Biblia zilizochorwa. Tumia mazoezi haya kuwasaidia watoto wako waboreshe ujuzi wao kuhusu watu wanaosimuliwa katika Biblia na kanuni za maadili.
Tafuta chini ya (MAFUNDISHO YA BIBLIA/WATOTO)